Kocha wa Al Ahly ya Misri, Pitso Mosimane amesema amewafuatilia Simba na kubaini ni miongoni mwa timu bora Afrika kutokana na aina yao ya soka ambalo wanacheza.Mosimane anasema Simba wamenishangaza kushinda mechi ya ugenini dhidi ya As Vita tena Kinshasa mahala ambapo ni pagumu kwa timu pinzani kushinda. “Katika kuwafuatilia kwangu Simba, nimebaini wana wachezaji
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed